Home » » Majaliwa azungumza na watumishi wa serikali, viongozi wa dini na wadau wa maendeleo wa mkoani Kagera

Majaliwa azungumza na watumishi wa serikali, viongozi wa dini na wadau wa maendeleo wa mkoani Kagera

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amekutana na watumishi wa serikali, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani Kagera akiwa yupo mkoani humo katika ziara zake za kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo.
IMGS8477Baadhi ya watumishi wa serikali, viongozi wa dini na wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kagera wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kagera Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa