PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akionesha umahiri wa afya yake kwa kufanya mazoezi ya Push Up wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karagwe, mkoani Kagera leo.


 Dk Magufuli akihutubia na kujinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni mjini Nkwenda, wilayani Kyerwa, mkoani Kagera.
 Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na hotuba za Dk Magufuli na ahadi alizokuwa anazitoa.

 Dk Magufuli akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Kyerwa, Swisbert Ntambuka wakati wa mkutano wa kampeni jimboni humo leo.
 Wananchi wakisikiliza kwa makini wakati Dk Magufuli akijinadi katika Mji wa Nkwenda Jimbo la Kyerwa

 Dk Magufuli akijinadi katika moja ya mikutano midogo midogo jimboni Kyerwa, Kagera
 Dk Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya POosta ya Zamani mjini Ngara leo

 Mgombea ubunge Jimbo la Nkenge, Balozi Diodorus Kamara akijinadi kwa wananchi wilayani Missenyi, Kagera.
 Dk Magufuli akisisitiza jambo alipokuwa akijinadi wakati wa mkutano wa kampeni wilayani Kyerwa, Kagera
 Mrembo akionesha tabasamu baada ya kufurahishwa na hotuba ya Dk Magufuli katika wilayani Misenyi, Jimbo la Nkenge.
 Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wilayani Karagwe leo
 Picha ya Dk Magufuli ikiwa imewekwa kwenye moja ya matairi ya Lori mjini Karagwe
 Ni furaha iliyoje kwa wananchi hawa baada ya kurahishwa na hotuba ya Dk Magufuli kwamba akishinda urais Elimu itakuwa ya bure kuanzia darasa la kwanza hadi  sekondari.
 Dk Magufuli akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia CCM, Innocent Bilakatwe wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karagwe leo
Mke wa mgombea ubunge Jimbo la Karagwe, Jennifer akitumia simu kupiga picha wakati mumewe akinadiwa na Dk Magufuli mjini Karagwe leo.

NIKO FITI KWA AJILI YA KUWATUMIKIA WATANZANIA, NIPENI URAIS NITAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA‏

1
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akitoa mpya jukwaani kwa kupiga Push Up kama kumi hivi ili kuwadhihirishia wananchi wa Mjini Karagwe mkoani Kagera kuwa yuko fiti kiafya ili kuwatumikia watanzania mara atakapochaguliwa na watanzania kuiongoza na kuwatumikia watanzania ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani akisema kwamba kazi ya kuwatumikia watanzania siyo rahisi ni muhimu kuwa na afya njema ili kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na niko tayari kufanya kazi usiku na mchana.
Akizungumza katika mkutano huo ameongeza kuwa atahakikisha anapunguza kwa kiwango kikubwa kodi zinazotozwa kwa wakulima wa zao la kahawa ili bei ya zao hilo iweze kupanda na wakulima hao kufaidika na zao hilo badala ya kuhangaika kupeleka nchini Uganda ambako bei yake iko juu kuliko nchini Tanzania.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-NGARA)
2
1
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa jimbo la Kyerwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimboni humo.
2
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akifurahia jambo katika mkutano huo.
3
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akizungumza na wananchi wa Kyerwa mkoani Kagera.
4
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kyerwa Ndugu Innocent Sebba Bilakwate.
5
Umati wa wananchi ukiwa katika mkutano wa kampeni wa Dk John Pombe Magufuli uliofanyika mjini Ngara
7 9 10
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Ngara Ndugu Alex Raphael Gashaza aliyeshika ilani ya Uchaguzi.
11
Mgombea ubunge viti maalum vijana mkoa wa Kagera Bi. Halima Bulembo akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Ngara leo jioni.
12
mgombea ubunge wa jimbo la Ngara Ndugu Alex Raphael Gashaza akiomba kura kwa wana Ngara katika kutano huo.
15
Baadhi ya vijana wakiwa wamekaa katika milingoti ya magoli ya uwanja wa mpira wa shule ya sekondari ya Rumanyika wilayani Kyerwa.
16 17
Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Kagera Bw. Hamim akizungumza na wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Kyerwa kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya Rumanyika.
18
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Karagwe Ndugu Innoncet Bashungwa.
20
Baadhi ya wananchi wakiwa na mabaongo yenye picha ya Dk John Pombe Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika mji wa Bunazi wilaya ya Misenyi.
21
Sheikh mkuu wa wilaya ya Mizenyi Abdulkadir Bulembo akifanya sala mara baada ya Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia mkutano wa kampeni mjini Bunazi wilayani Misenyi.
22
Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano huo mjini Bunazi.
24
Hii ni kampeni si urembo kichwani.
25
Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Nkenge Balozi Deodoras Kamala mjini Bunazi.
26
Msafara wa Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. John Pombe Magufuli ukiwasili katika eneo la mkutano mjini Bunazi wilayani Misenyi.

MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA


 Picha ya aliyekuwa Mgombea wa Udiwani kata ya Muleba kwa tiketi ya chama cha CCM,enzi za uhai wake,aliyefarika jana kwa ajali ya Piki Piki
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akitoa maneno ya pole kwa ndugu jamaa na marafiki leo asubuhi nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera. 
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba kwa chama cha CCM,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwapa mkono wa pole ndugu jamaa na marafiki leo asubuhi nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera,aliyefarika jana kwa ajali ya Piki Piki
 Baadhi ya Ndugu Jamaa na Marafiki wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa marehemu Osward Peter aliyefarika jana kwa ajali ya piki piki,Wakiomboleza kufuatia msiba huo.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

PICHA NA MICHUZI JR-MULEBA,KAGERA.

LOWASSA ALIVYOPOKELEWA MJINI BUKOBA


Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na mmoja wa wadau wa Mabadiliko, Prof. Azaveli Rwaitama, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015. Mjini Bukoba, Mkoani Kagera jana Septemba 19, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimpongeza Mke wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia CHADEMA, Willfred Lwakatare, mara baada ya kuzungumza na Wananchi wa Bukoba.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akizungumza na baadhi ya vingozi, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Mashujaa wa Bunazi, Jimbo la Nkenge, Misenyi Mkoani Kagera.
Wananchi wa Jimbo la Nkenge, Misenyi Mkoani Kagera wakimshangilia Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, alipowasili kwenye eneo la Mkutano.


 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kagera Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa