Home » » MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA

MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA


 Picha ya aliyekuwa Mgombea wa Udiwani kata ya Muleba kwa tiketi ya chama cha CCM,enzi za uhai wake,aliyefarika jana kwa ajali ya Piki Piki
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akitoa maneno ya pole kwa ndugu jamaa na marafiki leo asubuhi nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera. 
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba kwa chama cha CCM,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwapa mkono wa pole ndugu jamaa na marafiki leo asubuhi nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera,aliyefarika jana kwa ajali ya Piki Piki
 Baadhi ya Ndugu Jamaa na Marafiki wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa marehemu Osward Peter aliyefarika jana kwa ajali ya piki piki,Wakiomboleza kufuatia msiba huo.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

PICHA NA MICHUZI JR-MULEBA,KAGERA.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kagera Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa