Picha zote na Faustine Ruta, Bukoba.
Picha zote na Faustine Ruta, Bukoba.
Mkuu wa Wilaya Bukoba Bw. Deodatus Kinawilo(katikati) kulia ni Ndg. Salum Umande Chama wakiwa meza kuu.
Mwali wa mshindi wa kwanza.
Mashabiki waliingia kwa Wingi Uwanjani Kaitaba kushuhudia Fainali hiyo.
Mdhamini wa Ligi Mh. Kamala Kalumuna akicheza pamoja na watumbuizaji wa nyimbo mbalimbali wakati wa Mapumziko.
Kipa wa Ijuganyondo Fc hakuona ndani...
2-0 Baadhi ya Wachezaji wa Bakoba Fc wakipongezana kwa bao.
3-0 Ezekiel Izack akipongezwa kwa kumwagiwa maji mara baada ya kuipachikia bao la tatu Timu ya Bakoba Fc
Mashabiki mnasemaje?????
0 comments:
Post a Comment