Home » » TAMASHA LA SHANGWE LAFANA MJINI BUKOBA

TAMASHA LA SHANGWE LAFANA MJINI BUKOBA




 Mwimbaji wa
Nyimbo za Injili,Rose Muhando akitumbuiza kwenye Tamasha la shangwe
Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa wiki,tamasha
hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa ajili ya
kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa wa kagera.




 Mwimbaji wa
Nyimbo za Injili,Enock Jonas(Zunguka) akitumbuiza kwenye Tamasha la
shangwe Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa
wiki,tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa
ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa
wa kagera.




 Masista wa
Kituo cha Tumaini Children’s Centre, Sr.Adventina Kyamanywa (kushoto) na
Sr.Esther  wakijadiliana jambo  wakati wa tamasha la shangwe Kagera
katika viwanja vya Kaitaba mjini Bukoba.






Mkurugenzi wa
Beula Communication, Melkzedek  Mutayabarwa akizungumza kwenye Tamasha
laShangwe Kagera,ambapo kampuni hiyo ndio iliyoandaa tamasha hilo.  




Mkuu wa
Wilaya  Bukoba,Zippora Pangani akihutubia kwenye  Tamasha la shangwe
Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa wiki,tamasha
hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa ajili ya
kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa wa kagera.




 Waimbaji wa kwaya ya Vijana ya KKKT Usharika wa kanisa Kuu la Mjini Bukoba wakitumbuiza kwenya tamasha la Shangwe Kagera.




Rose Muhando akiwaburudisha viongozi walioudhuria Tamasha la Shangwe Kagera katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kagera Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa