Home » » GARI LATUMBUKIA KWENYE MTO KANONI MANISPAA YA BUKOBA‏

GARI LATUMBUKIA KWENYE MTO KANONI MANISPAA YA BUKOBA‏

 Ajali hii imeyotokea usiku wa kuamkia  leo jumamosi  katika daraja la mto Kanoni barabara iendayo Bandarini kwenye manispaa ya Bukoba, Gari hilo ndogo ainaya  Toyota yenye namba za usajili T 910 CTC, ambalo mmiliki wake hajajulikana.
Japo katika eneo la tukio mwananchi mmoja alisikika akisema ni mal;i ya Askari Polisi ambae hakumtaja jina, Mtandao huu ulifika kwenye kituo cha Polisi kujilidhisha na tulikutana na Bw Magayane ambae ni msaidizi katika kitengo cha Usalama Barabarani alikiri kuwa na Tarifa za ajali hiyo na kusibitisha kuwa hakuna aliyeumia, na nilipotaka kujua mmiliki wa Gari hili alisema hawamjui wapo katika jitihada za kumtambua.
 Wananchi wakiangalia ajali ya gari  Daraja la mto Kanoni barabara iendayo Kastam bandarini
 Kama kweli ni ulevi ni nomaaaa
 Jamani umakini Barabarani ni muhimu

Mwendo kasi, ulevi, kuongea na simu ni hatari unapoendesha gari kuwa makini. 

PICHA NA JAMCO BLOG

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kagera Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa